"Hello dada Dinah, pole kwa majukumu mpenzi.
Mie ni mwanamke wa miaka 29 na nina watoto 2 na nipo kwenye ndoa kwa miaka 4 sasa. Tatizo langu Dada Dinah ni kubwa, naomba msaada pamoja na wanablog wote.
Mume wangu ni mfanya biashara na mie ni mfanyakazi nilieajiriwa na Institution moja kubwa tu hapa ninapoishi, sasa mume wangu hafanyi lolote katika ndoa yetu, namaanisha hajihusishi na matumizi au manunuzi au gharama zozote za kifamilia jamani.
Kila kitu naachiwa mie, kuanzia bills, matibabu, mavazi ya watoto na garama nyingine zangu kama mwanamke. Kila ninapojaribu kumuelewesha anadai hali ni ngumu, lakini hata kama ni ngumu yeye kama mwanaume si anapaswa kufanya any means apate at least chochote haiwezekani ufanye kazi then ukose hata hela ya kununua chupi jamini!
Pili ana mahusiano nje ya ndoa na hili nina ushahidi wa kutosha baada ya kusoma sms ktk simu yake akimuagizia mwanamke guest na chumba namba Fulani amkute, kuuliza tu ilikuwa ugomvi mkubwa hasa na akaamua kuweka password kwenye simu yake.
Tatu Sina hamu yoyote ya mapenzi na yeye tena, sio tu kwa sababu ya ulevi na harufu ya pombe kunikosesha hamasa pia kula anapolewa huwa hajitambui kabisa na wakati mwingine. Kingine anatumia tumbaku basi kinywa chote kinakuwa na harufu.
Mume wangu anatoka asubuhi kwenda ktk shuguli zake akirudi hiyo usiku haogi anajitupa kitandani kama mzoga bado atataka mfanye mapenzi jamani hiyo hamasa itatoka wapi ndugu zangu, na hapo wala hakutakuwa na maandalizi yoyote zaidi ya yeye aingize uume wake tu na akojoe basi.
Wakati mwingine nafikiria hata kutafuta mwanaume mwengine wa kunipa raha lakini naogopa dada Dinah kwani watoto wangu bado wadogo na nisingependa waanze kuona wazazi wana tofauti kwani wanahitaji malezi ya baba na mama bado.
Plz naomba msaada wako dada Dinah, na samahani kwa msg ndefu.
Ni mimi Dada Line."
Tuesday, 3 November 2009
Ndoa inanishinda, wanangu wadogo-Nifanyaje?
Imeandaliwa na
Dinah
on
Tuesday, November 03, 2009
3
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
| Unaifikiriaje hii? |
Monday, 2 November 2009
Sina hamu na mume wangu Kingono-Ushauri

Mambo dinah, iko hivi mume wangu alikuwa akicheat. Baada ya kuchunguza nikabaini na yeye amekili kuwa alikuwa anatoka nje yandoa yetu. Ttatizo langu ni kwamba nimeishiwa hamu ya kufanya mapenzi na mumewangu, yaani sina hamu hata kidogo.
Najaribu lakini akili yangu haiwi pale, sifurahii wala sina ile kulalamika kwa mahaba wala kumpa yale mapenzi motomoto naomba msaada wako plz. Jamila (mrs) Hans.
Dinah anasema: Mrs Hans, mambo ni shwari kabisa hapa, asante kwa kujali. Pole kwa unayokabiliana nayo, kabla sijakupa maelezo tafadhali soma topics za zamani kuhusu cheatng kwa kubonyeza hapa, hapa , hapa na hapa kwa majibu niliyompatia mwenzio aliyepatwa na same tatizo.
Ofcoz kila issue iko tofauti na nitakuja kukupa ushauri kutokana na maelezo yako.
Nitarudi kwa ajli yako.....
Imeandaliwa na
Dinah
on
Monday, November 02, 2009
6
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
| Unaifikiriaje hii? |
Wednesday, 28 October 2009
Mke kabadilika, bila dole la O hakieleweki-Ushauri!
"Dada Dinah nakupongeza kwa kuelimisha jamii.
Mimi ni mwanaume wa 45yrs nimeoa mke wangu ana umri wa 38yrs tuna watoto 2 na ndoa yetu ina miaka 12. Mtoto wetu wa mwisho ana 6yrs. Ndoa yetu ilikuwa ya raha ila sasa yapata mwaka tangu mke wangu abadilike baada kutoka safari kwao iliyochukua muda wa wiki mbili.
Mwanzo wa mahusiano wakati wakumwandaa kwa tendo la ndoa tulikuwa tunabusiana na kula denda na kumnyonya matiti na kumlamba kisimi naye kuninyonya mboo hadi anaomba nianze kumtomba na anakuwa keshalainika na haichukui muda mrefu tunafika kileleni.
Lakini sasa hakubali hayo tena yaani nimuandaapo anataka nimshikeshike tu na nianzapo kumtomba ni mkavu ni kama vile hana hisia na mimi, pia huchukua muda mrefu ndipo ananiomba nimguseguse mkundu kwa kidole na ndipo huanza kunyevuka sasa ninapoendelea kuthrust in and out huniomba niingize kidole ndani kabisa mkunduni mwake hapo ndipo hufika kileleni.
Swali je anatembea nje ya ndoa na ameanza tabia ya kufirwa huko nje? Kwani sijawahi kumfanya kinyume na maumbile na sipendi. Nishaurini"
Mimi ni mwanaume wa 45yrs nimeoa mke wangu ana umri wa 38yrs tuna watoto 2 na ndoa yetu ina miaka 12. Mtoto wetu wa mwisho ana 6yrs. Ndoa yetu ilikuwa ya raha ila sasa yapata mwaka tangu mke wangu abadilike baada kutoka safari kwao iliyochukua muda wa wiki mbili.
Mwanzo wa mahusiano wakati wakumwandaa kwa tendo la ndoa tulikuwa tunabusiana na kula denda na kumnyonya matiti na kumlamba kisimi naye kuninyonya mboo hadi anaomba nianze kumtomba na anakuwa keshalainika na haichukui muda mrefu tunafika kileleni.
Lakini sasa hakubali hayo tena yaani nimuandaapo anataka nimshikeshike tu na nianzapo kumtomba ni mkavu ni kama vile hana hisia na mimi, pia huchukua muda mrefu ndipo ananiomba nimguseguse mkundu kwa kidole na ndipo huanza kunyevuka sasa ninapoendelea kuthrust in and out huniomba niingize kidole ndani kabisa mkunduni mwake hapo ndipo hufika kileleni.
Swali je anatembea nje ya ndoa na ameanza tabia ya kufirwa huko nje? Kwani sijawahi kumfanya kinyume na maumbile na sipendi. Nishaurini"
Imeandaliwa na
Dinah
on
Wednesday, October 28, 2009
18
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
| Unaifikiriaje hii? |
Tuesday, 27 October 2009
Siku ya kwanza hakusimamisha-Nimsaidiaje?
"Mambo dada
samahani mimi tatizo langu linakwenda hivi, ninampenzi wangu anaitwa Hamisi tunapendana sana ila kuna kitu kimoja kinacho nichanganya akiliyangu. Kuna siku tulienda Morogoro mimi na mpenzi wangu na ndio ilikuwa siku ya kwanza kufanya nae mapenzi tokea tuanze uhusiano.
Mwenzangu alikuwa anatatizo kwani uume wake haukusimama vizuri, basi mimi nikasubiri muda tumetulia tunaongea nikamwambia mpenzi wangu vipi mbona unapata taabu sana wakati wa kufanya mapenzi na mbona uume wote hauingii kwa vile hausimami vizuri. Niliongea nae kwa kubembeleza sana kwa kuwa nampenda na ninamuhitaji.
Akaniambia kwamba yeye tokea aanze kubalehe alikuwa ni mtu wa kufanya punyeto ila kwa kuwa yuko na mimi basi hafanyi tena na ameacha kabisa. Dada kwenye uhusino sasa tuna kama miezi mitano tu nampenda sana na nahitaji awe mume wangu Mungu akijaalia hapo baadae, naomba uniashauri nifanye nini?
Nakumbuka pia aliniambia hajawahi kufanya mapenzi inamaana mimi ndio wa kwanza wake yeye anamiaka 21 mimi ninayo 20.
Thanks
Lulu."
samahani mimi tatizo langu linakwenda hivi, ninampenzi wangu anaitwa Hamisi tunapendana sana ila kuna kitu kimoja kinacho nichanganya akiliyangu. Kuna siku tulienda Morogoro mimi na mpenzi wangu na ndio ilikuwa siku ya kwanza kufanya nae mapenzi tokea tuanze uhusiano.
Mwenzangu alikuwa anatatizo kwani uume wake haukusimama vizuri, basi mimi nikasubiri muda tumetulia tunaongea nikamwambia mpenzi wangu vipi mbona unapata taabu sana wakati wa kufanya mapenzi na mbona uume wote hauingii kwa vile hausimami vizuri. Niliongea nae kwa kubembeleza sana kwa kuwa nampenda na ninamuhitaji.
Akaniambia kwamba yeye tokea aanze kubalehe alikuwa ni mtu wa kufanya punyeto ila kwa kuwa yuko na mimi basi hafanyi tena na ameacha kabisa. Dada kwenye uhusino sasa tuna kama miezi mitano tu nampenda sana na nahitaji awe mume wangu Mungu akijaalia hapo baadae, naomba uniashauri nifanye nini?
Nakumbuka pia aliniambia hajawahi kufanya mapenzi inamaana mimi ndio wa kwanza wake yeye anamiaka 21 mimi ninayo 20.
Thanks
Lulu."
Imeandaliwa na
Dinah
on
Tuesday, October 27, 2009
3
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
| Unaifikiriaje hii? |
Monday, 26 October 2009
Kupinda kwa Uume kumekimbiza Mpenzi-Ushauri!
"Jina langu naitwa Frank, ninamiaka 24.
Kwanza kabisa nitakuwa si mwingi wa busara endapo sitatoa shukrani zangu za dhati kwa dada Dinah, tunakushuru sana dada yetu kwa ushauri wako pamoja na wachangiaji wote kwa ujumla.
Jamani naombeni msaada wenu kwani mwenzenu hivi sasa mboo yangu inamiaka miwili toka ipinde na hii inatokana na tabia ambayo nilianza mimi mwenyewe pale ambapo nilipokuwa naibana kwenye chupi pindi ikisimama.
Tatizo hili limesababisha kuachana na mpenzi wangu kwani alikuwa akiumia pindi tunapofanya mapenzi. Yaani hii mboo imepindia chini badala ya kunyooka. Jamani nahitaji msaada wenu wa haraka kwamba nifanyeje ili uume wangu urudi kama zamani?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!"
Kwanza kabisa nitakuwa si mwingi wa busara endapo sitatoa shukrani zangu za dhati kwa dada Dinah, tunakushuru sana dada yetu kwa ushauri wako pamoja na wachangiaji wote kwa ujumla.
Jamani naombeni msaada wenu kwani mwenzenu hivi sasa mboo yangu inamiaka miwili toka ipinde na hii inatokana na tabia ambayo nilianza mimi mwenyewe pale ambapo nilipokuwa naibana kwenye chupi pindi ikisimama.
Tatizo hili limesababisha kuachana na mpenzi wangu kwani alikuwa akiumia pindi tunapofanya mapenzi. Yaani hii mboo imepindia chini badala ya kunyooka. Jamani nahitaji msaada wenu wa haraka kwamba nifanyeje ili uume wangu urudi kama zamani?
Natanguliza shukrani zangu za dhati!"
| Unaifikiriaje hii? |
Saturday, 24 October 2009
Tunagombana kila tunapofanya mapenzi-Kwanini?
"Helo Dinah!
natumai ni mzima wa afya,
Samahani dada yangu nina swali naomba unisaidie.
Niane boyfrend wangu, kwa kipindi kirefu sana, yapata miaka 6 sasa na nilikuwa nae toka niko mdogo ila tumeanza fanya mapenzi mwaka huu. Nakumbuka siku hiyo alifurahi sana kunikuta bikra ila cha kushangaza kila tukiwa tunafanya mapenzi lazima tugombane.
Sijui kwanini huwa nachukia sana, tukiwa katika raha zetu ndio ugomvi unapoanza. Mara anasema nina wanaume wengine kitu ambacho si kweli, sifanyi na yoyote mwengine zaidi yake. Huwa najiskia vibaya sana sababu ule ndio muda wa kufurahi na si kugombana.
Nampenda sana mpenzi wangu na sitaki kumkosa, nifanyaje ili tuache kugombana??''
Pili, mimi bado sijakuwa mjuzi wa hayo mambo, ni muda gani natakiwa kumkatikia tukiwa tunafanya mapenzi?? naomba nieleweshe ili nipate kumpagawisha mpenzi wangu asitoke nje.
wako mpendwa Maryam!!"
Dinah anasema:Maryam mimi mzima wa afya namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kufanya shughuli zangu za kila siku kama kawaida. Asante kwa ushirikiano na mail yako.
Mosi, kutokana na maelezo yako na base ya uhusiano wenu nadhani mpenzi wako anachotaka ni wewe kummwambia namna gani unampenda, yaani kusema unavyojisikia juu yake kila anapofanya mapenzi na wewe.
Ni wazi kuwa yeye ni moja kati ya wale wanaume wengi wanaopenda wapenzi wao wapige kelele huku wanaongea ili kuwaongezea mzuka wa kufanya tendo na uhakika kuwa wanakupatia na kukufurahisha.
Huenda anadhani kuingiza mboo yake ukeni ndio utamu wenyewe, hajui kuwa ili mwanake kupata utamu utakao mfanya apagawe na kusema yote yalioujaza moyo wake kuhusu yeye au mapenzi yenu kwa ujumla kunahitaji mambo mengi kama vile mwanamke kuwa tayari(nyevuka), kuujua mwili wa mwanamke na vipele/kona zake za utamu, kujua namna ya kutumia uume wake n.k.
Tatizo nionalo hapa ni ukosefu wa mawasiliano, kweli mnafahamiana vema kwa muda wa miaka sita. Lakini hamjuani kingono, wewe huji nini anataka kingono hali kadhalika yeye hajui nini wewe unataka.
Ni vema umekuja kuomba ushauri mapema kwani ungekaa kimya ni wazi ungeanza kuathirika Kisaikolojia na kulichukia tendo hili moja kwa moja na hivyo kushondwa kufurahia au kufika kileleni hapo baadae.
Hebu jaribu haya alafu uje uniambie matokeao:-
(i)-Siku mtakayokuwa mnfanya mapenzi kwa mara nyingine wewe tulia na ku-focus kwenye kufurahia, mapenzi yenu.
Sasa akianza kuuliza/ambia "wee una mwanume mwingine"......Mjibu-" jinsi ninayokupenda siwezi kuwa na mwanaume mwingine, mwanaume pekee ni wewe mpenzi wangu", alafu taratibu shikilia kichwa chake kwa mikono miwili mpe denda ktk mtindo wa "nakutaka so badly".....endelea na shingo yake na maeneo mengine yaliyokaribu na wewe wakati yeye anaendelea na shughuli.......
(ii)-Muonyeshe kuwa unafurahia kwa kumshika-shika huku unatoa sauti za mahaba (sio za uongo though), vuta hisia, mwangalie, fikiria umbile lake ulipendalo na ukianza kukaribia kileleni mshikilie kwa nguvu zako zote huku ukimnong'oneza (utakuwa unahema kutokana na nguvu za kilele which itafanya sauti sitoke vizuri na itakuwa so sexy kwake)........ "nakupenda baby/mpenzi/laazizi/pilipili hoho(whatever jina unamuita).......nataka unifanye hivi kila siku, usiniache sweetie" hii itampa kichwa kuwa anaujua mchezo na amekupagawisha kitu ambacho yeye anakitaka as SIMPLE as that!!
Ukizoea kusemahisia zako wakati wa kufanya mapenzi na yeye mpenzi wako akawa nakupatia na kukupa vilele vya nguvu utakuwa huru kusema mengi zaidi ila kumbuka mengine utakuwa huyakumbuki kwani unapofika kileleni unless yeye akuambie ulisema hivi au vile. Kuna vilele vingine vitamu kuliko mpaka vinahamisha akili na hivyo unalopoka tu!
Pili, Kwa kweli ni ngumu sana kukuambia ni wakati gani muafaka wa kumzunguushia kiuno kwani hii unatakiwa kujiwekea mwenyewe kutokana na ufanyaji wake pia mkao/mtindo mnaotumia wakati huo.
Hebu tujaribu hizi za chao-chap, (i)-kata kiuno kama njia ya kumuita kitandani......kwamba lala chali ukiwa na chupi na sidiria kisha panua miguu alafu kunja magoti ktk mtindo wa V sasa kata kiuno na yeye atakufuata na kuaza kazi.....
(ii)-Kata kiuno kumsaidia.......ukiwa umelala chali(kifo cha mende)akiingiza uume usikate kiuno hata kidogo, muachie apige tako zake na ukihisi anapunguza speed ndio wakati muafaka wa kuanza kumpa kiuno taratiiiibu.....utaona ananza kuchangamka....endelea na hakikisha unabadilisha movement yaani kulia-kushoto alafu kushoto-kulia-juu-chini (kama una bell dancing).....utasikia anatoa sauti/miguno ya ajabu-ajabu(ndio utamu wenyewe anaupata hapo).
(iii)-Kata kiuno kum-tease na kumpa raha to the max........Yeye chini wewe juu, mkiwa wote tayari kwa tendo kalia uume half way (nusu) kisha zunguusha kiuno, yeye atataka kuingiza yote lakini mzuie kwa kurudi juu mapaka kichwani kisha rudia mpaka nusu na zunguusha kiuono tena......akitaka kuingiza rudi juu kama unaitoa ukeni alafu ingiza tena yote mpaka mwisho ride kidogo....jisogeze kwa juu kidogo(huku uume wote uko ndani)....mlalie alafu panua miguu ili iwe rahisi kukata kiuno.....endelea kumpakiuno huku unampa denda ktk same rythm ya ukatikaji wako.......
Jinsi unavyozidi kumjua mwenzio ndivyo utakavyo zidi kuwa mbunifu na utagundua kona za uke wako ambazo utakuwa unazitumia kuubana uume na kujikatia kiuno ili kujipatia kilele. Kiuno kinasaidia sana mwanamke kufika kileleni haraka kuliko mwanaume.
Ikiwa hujanielewa usisite ku-check na mimi.
Kila la kheri.
natumai ni mzima wa afya,
Samahani dada yangu nina swali naomba unisaidie.
Niane boyfrend wangu, kwa kipindi kirefu sana, yapata miaka 6 sasa na nilikuwa nae toka niko mdogo ila tumeanza fanya mapenzi mwaka huu. Nakumbuka siku hiyo alifurahi sana kunikuta bikra ila cha kushangaza kila tukiwa tunafanya mapenzi lazima tugombane.
Sijui kwanini huwa nachukia sana, tukiwa katika raha zetu ndio ugomvi unapoanza. Mara anasema nina wanaume wengine kitu ambacho si kweli, sifanyi na yoyote mwengine zaidi yake. Huwa najiskia vibaya sana sababu ule ndio muda wa kufurahi na si kugombana.
Nampenda sana mpenzi wangu na sitaki kumkosa, nifanyaje ili tuache kugombana??''
Pili, mimi bado sijakuwa mjuzi wa hayo mambo, ni muda gani natakiwa kumkatikia tukiwa tunafanya mapenzi?? naomba nieleweshe ili nipate kumpagawisha mpenzi wangu asitoke nje.
wako mpendwa Maryam!!"
Dinah anasema:Maryam mimi mzima wa afya namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kufanya shughuli zangu za kila siku kama kawaida. Asante kwa ushirikiano na mail yako.
Mosi, kutokana na maelezo yako na base ya uhusiano wenu nadhani mpenzi wako anachotaka ni wewe kummwambia namna gani unampenda, yaani kusema unavyojisikia juu yake kila anapofanya mapenzi na wewe.
Ni wazi kuwa yeye ni moja kati ya wale wanaume wengi wanaopenda wapenzi wao wapige kelele huku wanaongea ili kuwaongezea mzuka wa kufanya tendo na uhakika kuwa wanakupatia na kukufurahisha.
Huenda anadhani kuingiza mboo yake ukeni ndio utamu wenyewe, hajui kuwa ili mwanake kupata utamu utakao mfanya apagawe na kusema yote yalioujaza moyo wake kuhusu yeye au mapenzi yenu kwa ujumla kunahitaji mambo mengi kama vile mwanamke kuwa tayari(nyevuka), kuujua mwili wa mwanamke na vipele/kona zake za utamu, kujua namna ya kutumia uume wake n.k.
Tatizo nionalo hapa ni ukosefu wa mawasiliano, kweli mnafahamiana vema kwa muda wa miaka sita. Lakini hamjuani kingono, wewe huji nini anataka kingono hali kadhalika yeye hajui nini wewe unataka.
Ni vema umekuja kuomba ushauri mapema kwani ungekaa kimya ni wazi ungeanza kuathirika Kisaikolojia na kulichukia tendo hili moja kwa moja na hivyo kushondwa kufurahia au kufika kileleni hapo baadae.
Hebu jaribu haya alafu uje uniambie matokeao:-
(i)-Siku mtakayokuwa mnfanya mapenzi kwa mara nyingine wewe tulia na ku-focus kwenye kufurahia, mapenzi yenu.
Sasa akianza kuuliza/ambia "wee una mwanume mwingine"......Mjibu-" jinsi ninayokupenda siwezi kuwa na mwanaume mwingine, mwanaume pekee ni wewe mpenzi wangu", alafu taratibu shikilia kichwa chake kwa mikono miwili mpe denda ktk mtindo wa "nakutaka so badly".....endelea na shingo yake na maeneo mengine yaliyokaribu na wewe wakati yeye anaendelea na shughuli.......
(ii)-Muonyeshe kuwa unafurahia kwa kumshika-shika huku unatoa sauti za mahaba (sio za uongo though), vuta hisia, mwangalie, fikiria umbile lake ulipendalo na ukianza kukaribia kileleni mshikilie kwa nguvu zako zote huku ukimnong'oneza (utakuwa unahema kutokana na nguvu za kilele which itafanya sauti sitoke vizuri na itakuwa so sexy kwake)........ "nakupenda baby/mpenzi/laazizi/pilipili hoho(whatever jina unamuita).......nataka unifanye hivi kila siku, usiniache sweetie" hii itampa kichwa kuwa anaujua mchezo na amekupagawisha kitu ambacho yeye anakitaka as SIMPLE as that!!
Ukizoea kusemahisia zako wakati wa kufanya mapenzi na yeye mpenzi wako akawa nakupatia na kukupa vilele vya nguvu utakuwa huru kusema mengi zaidi ila kumbuka mengine utakuwa huyakumbuki kwani unapofika kileleni unless yeye akuambie ulisema hivi au vile. Kuna vilele vingine vitamu kuliko mpaka vinahamisha akili na hivyo unalopoka tu!
Pili, Kwa kweli ni ngumu sana kukuambia ni wakati gani muafaka wa kumzunguushia kiuno kwani hii unatakiwa kujiwekea mwenyewe kutokana na ufanyaji wake pia mkao/mtindo mnaotumia wakati huo.
Hebu tujaribu hizi za chao-chap, (i)-kata kiuno kama njia ya kumuita kitandani......kwamba lala chali ukiwa na chupi na sidiria kisha panua miguu alafu kunja magoti ktk mtindo wa V sasa kata kiuno na yeye atakufuata na kuaza kazi.....
(ii)-Kata kiuno kumsaidia.......ukiwa umelala chali(kifo cha mende)akiingiza uume usikate kiuno hata kidogo, muachie apige tako zake na ukihisi anapunguza speed ndio wakati muafaka wa kuanza kumpa kiuno taratiiiibu.....utaona ananza kuchangamka....endelea na hakikisha unabadilisha movement yaani kulia-kushoto alafu kushoto-kulia-juu-chini (kama una bell dancing).....utasikia anatoa sauti/miguno ya ajabu-ajabu(ndio utamu wenyewe anaupata hapo).
(iii)-Kata kiuno kum-tease na kumpa raha to the max........Yeye chini wewe juu, mkiwa wote tayari kwa tendo kalia uume half way (nusu) kisha zunguusha kiuno, yeye atataka kuingiza yote lakini mzuie kwa kurudi juu mapaka kichwani kisha rudia mpaka nusu na zunguusha kiuono tena......akitaka kuingiza rudi juu kama unaitoa ukeni alafu ingiza tena yote mpaka mwisho ride kidogo....jisogeze kwa juu kidogo(huku uume wote uko ndani)....mlalie alafu panua miguu ili iwe rahisi kukata kiuno.....endelea kumpakiuno huku unampa denda ktk same rythm ya ukatikaji wako.......
Jinsi unavyozidi kumjua mwenzio ndivyo utakavyo zidi kuwa mbunifu na utagundua kona za uke wako ambazo utakuwa unazitumia kuubana uume na kujikatia kiuno ili kujipatia kilele. Kiuno kinasaidia sana mwanamke kufika kileleni haraka kuliko mwanaume.
Ikiwa hujanielewa usisite ku-check na mimi.
Kila la kheri.
Imeandaliwa na
Dinah
on
Saturday, October 24, 2009
9
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
| Unaifikiriaje hii? |
Thursday, 22 October 2009
Baba kanilea na kunisomesha, Mama anasema si baba yangu!!
"Hi Dada dinah nina matatzo sana hivyo I need your advice. Mimi ni kijana wa miaka 21, it is a long story but I wil make it short and clear. Ni kwamba, mimi nimezaliwa Kenya when my dady met with Mum there but walikuwa ni wapenzi yaani hawakufunga ndoa.
Nilipofikisha miaka 2, baba alinichukua nikaenda kuishi Moshi na bibi, anadai kuwa matunzo kwa mama hayakuwa mazuri. Tangu alivyonichukua hadi nafikisha miaka 17 Mama hakuwahi kuja kuniona wala hakutaka kujua habari zangu japokuwa hakuwa mbali sana yaani ni kiasi cha kutumia Tsh elfu3 kama nauli.
Nilipofikisha hiyo miaka kumi na saba ndio akaja kuniona. Kipindi chote nilikuwa naishi na baba tu kwani alirudi nyumbani. Sasa baada ya Mama kuja anadai eti yule niliyekuwa naishi nae na kuamini kuwa ni Baba yangu was not my father na kwamba my father is from Uganda but huyu Baba ndio ninayemfahamu, ndiye aliyenilea na kunisomesha mapka nilipofikia na hajajua hilo, kwamba mimi sio mtoto wake. Je nifanye nini?"
Dinah anasema:Pole kwa mawazo yanayosonga akili yako hivi sasa kuhusiana na ukweli juu ya nani ni baba yako wa damu. Ukweli utabaki kuwa mama siku zote ndio anajua baba wa mtoto ni nani?
Nasikitika kusema kuwa kuna akina baba wengi tu walilea na wanaendelea kulea watoto ambao Kibailojia au kidamu sio wa kwao lakini kwa vile wanashiriki tendo la ndoa na wake/wanawake zao basi hujenga ukukaribu na mimba ile na mtoto anapozaliwa huona kabisa kuwa ni wa kwake na hivyo kujenda bond kama baba hali ambayo humathiri Kisaikolojia huyu baba na hatimae kuona mtoto huyo anafanana na watu wa karibu na familia yake kama sio yeye mwenyewe.
Pamoja na kusema hivyo, sina maana kuwa huyo si baba yako na wala siwezi kukubaliana wala kukataa kuwa yule Mganda pia ndio baba yako wa damu. Kama walivyogusia baadhi ya wachangiaji huenda hata huyo Mganda sio baba yako.
Kutokana na maelezo yako inaonyesha wazi kuwa hauko interested na mwanamke huyo japokuwa ndio aliyekuzaa hivyo huna budi kumpa heshima kama mzazi wako wa kike kwani hajui kuwa mama ni nini hasa kwani sio yeye aliyekulea bali bibi yako.
Sitokulaumu kwa kupoteza interest au hata mapenzi juu ya mzazi wako huyo wa kike kwani hakutaka kujihusisha na wewe, sasa kwa vile umekuwa mkubwa na yeye anazeeka ndio kashituka na kuona hakutakuwa na mtu wa kumsaidia hapo ndio akakumbuka ala kumbe nina mtoto Tz!
Inawezekana kabisa hakujua ni namna gani atakujia na hakutaka kuomba msamaha kutokana na kujiweka mbali na maisha yako wakati ulipokuwa ukimuhitaji zaidi (ulipokuwa mtoto) na njia pekee ya kujiweka karibu na wewe ili kupata atakacho ni kupandikiza uongo bila kujali (Again) kuwa akuwa atakupa msongamano wa mawazo (stress), kuumiza hisia zako (emotional) na Kisaikolojia.
Mimi nakushauri kama ifuatavyo,
Mosi, Kamwe tena mwiko kabisa kumueleza baba yako Mtanzania kuhusu hili suala, kwani litamuumiza sana na hata kusababisha matatizo makubwa (inategemea na atakavyolipokea) sio yeye tu bali Bibi yako, ndugu jamaa na marafiki.
Ikiwezekana kaa mbali na huyo mama kwa kumwambia kuwa huitaji kuwa nae karibu kwa na asikutembelee wala kuzoea kuja hapo nyumbani na badala yake mwambie wewe utakuwa ukimtembelea huko Kenya kila unapohitaji kufanya hivyo kwani tayari wewe ni mtu mzima.
Pili, Ukisha muweka mbali tafuta wasaa na uzungumze nae hata kama ni kwa simu na umwambie yalioujaza moyo wako ikiwa ni pamoja na msimamo wako juu ya baba aliyekulea (hata iweje ndio unamtambua kama baba yako n.k) na juu yake(utampa heshima kama mzazi wa kike na hadithi za masiha yake ya ujana azi-keep mwenyewe).
Tatu, Kama unataka/ukipenda kuwa na amani moyoni juu ya Mzazi wako wa Damu basi utalazimika kum-bana mzazi huyo akupe ukweli halisi kama kweli anauhakika kuwa Mganda ndio Baba wa damu au anadhania tu lakini inawezeakana hata yeye sio baba na ukweli ni kuwa hajui baba ni nani na akaamua kusingizia wanaume wote aliotembea nao.
Usimuonee aibu wala usihisi Guilt kutokana na katabia kake kachafu ka kulala na wanaume ovyo tena bila kinga, hakikisha unam-bana akupe ukweli wote mpaka kwanini hasa akamsingizia huyu baba wa Tz na kitu gani kilimfanya asijihusishe na wewe na sasa nini kimemfanya akukumbuke (yote yalioujaza moyo wako yatoe) kwani unahaki zote za kujua kwa uhakika kama huyo Mganda ni baba wa damu au unaenda kubahatisha tu!
Akihakiki na kukupa maelezo ya kutosheleza na wewe kuhisi the argue ya kutaka kujua ukweli basi omba mawasiliano ya huyo Mganda ili ufanye nae mawasiliano na ikiwezekana kufanya vipimo vya DNA ili upate amani moyoni na sio kwenda kuanza kujipendekeza kwa mtu au hata familia ambayo huijuia achilia mbali Tamaduni zao za Kiganda.
Akisita nakuja na hadithi nyingine ambazo zinaashiria kuwa hana uhakika na Mganda, kwamba inawezekana pia sio baba wa damu basi achana na the issue na endelea na maisha yako na baba wa Tz. Wewe hautokuwa wa kwanza kulelewa na mzazi ambae sio wa damu kwani kuna watoto wengi tu wanalelewa na wazazi ambao sio wa damu lakini wanapendwa, kujaaliwa, kupewa msingi na mwanzo mzuri tu wa kimaisha kama ulioupata wewe.
Kuna watoto wanaishi na wazazi wao wa damu lakini hawapati ulichokipata wewe, kwa uzoefu wako umeona kabisa kuwa mama hakukutaka ulipokuwa mdogo na alikupa matunzo mabaya kiasi kwamba baba Mtz akahofia kuwa ungeendelea kuishi na mama huyo huenda usingefikisha miaka 21, ungejifia ktk umri mdogo sana.
Kumbuka kwenye suala la DNA, hakikisha humpi jukumu lakufuatilia kwani anaweza kuwa ana-demand pesa kwa kisingizo cha kufuatilia, hakikisha unalifanya mwenyewe na kama hakuna sababu ya wewe kufanya vipimo hivyo kwa vile una amani moyoni kuwa Baba Mtz ndio baba yako hakikisha unamuweka mama huyo mbali kabisa na familia yako ya Tz ili kuepusha matatizo ambayo yatakuathiri wewe na Baba mTz.
Kama nilivyosema awali kuwa kuna asilimia kubwa sana ya kina baba hapa Duniani wamelea na kusomesha watoto ambao sio wao wa damu, lakini kwa vile hawataki masumbuko ya akili, Saikolojia, hisia na hata kuharibu ukaribu wao wa kifamilia wanaamua kudharau maelezo ya watu wengine pia vipimo ya DNA na kuendelea na maisha yako kama kawaida.
Najipa matumaini kuwa umefanyia kazi maelezo na ushaurio kutoka kwa wachangiaji na utafanya uamuzi wa busara ili kuishi kwa amani na furaha.
Kila la kheri!
Nilipofikisha miaka 2, baba alinichukua nikaenda kuishi Moshi na bibi, anadai kuwa matunzo kwa mama hayakuwa mazuri. Tangu alivyonichukua hadi nafikisha miaka 17 Mama hakuwahi kuja kuniona wala hakutaka kujua habari zangu japokuwa hakuwa mbali sana yaani ni kiasi cha kutumia Tsh elfu3 kama nauli.
Nilipofikisha hiyo miaka kumi na saba ndio akaja kuniona. Kipindi chote nilikuwa naishi na baba tu kwani alirudi nyumbani. Sasa baada ya Mama kuja anadai eti yule niliyekuwa naishi nae na kuamini kuwa ni Baba yangu was not my father na kwamba my father is from Uganda but huyu Baba ndio ninayemfahamu, ndiye aliyenilea na kunisomesha mapka nilipofikia na hajajua hilo, kwamba mimi sio mtoto wake. Je nifanye nini?"
Dinah anasema:Pole kwa mawazo yanayosonga akili yako hivi sasa kuhusiana na ukweli juu ya nani ni baba yako wa damu. Ukweli utabaki kuwa mama siku zote ndio anajua baba wa mtoto ni nani?
Nasikitika kusema kuwa kuna akina baba wengi tu walilea na wanaendelea kulea watoto ambao Kibailojia au kidamu sio wa kwao lakini kwa vile wanashiriki tendo la ndoa na wake/wanawake zao basi hujenga ukukaribu na mimba ile na mtoto anapozaliwa huona kabisa kuwa ni wa kwake na hivyo kujenda bond kama baba hali ambayo humathiri Kisaikolojia huyu baba na hatimae kuona mtoto huyo anafanana na watu wa karibu na familia yake kama sio yeye mwenyewe.
Pamoja na kusema hivyo, sina maana kuwa huyo si baba yako na wala siwezi kukubaliana wala kukataa kuwa yule Mganda pia ndio baba yako wa damu. Kama walivyogusia baadhi ya wachangiaji huenda hata huyo Mganda sio baba yako.
Kutokana na maelezo yako inaonyesha wazi kuwa hauko interested na mwanamke huyo japokuwa ndio aliyekuzaa hivyo huna budi kumpa heshima kama mzazi wako wa kike kwani hajui kuwa mama ni nini hasa kwani sio yeye aliyekulea bali bibi yako.
Sitokulaumu kwa kupoteza interest au hata mapenzi juu ya mzazi wako huyo wa kike kwani hakutaka kujihusisha na wewe, sasa kwa vile umekuwa mkubwa na yeye anazeeka ndio kashituka na kuona hakutakuwa na mtu wa kumsaidia hapo ndio akakumbuka ala kumbe nina mtoto Tz!
Inawezekana kabisa hakujua ni namna gani atakujia na hakutaka kuomba msamaha kutokana na kujiweka mbali na maisha yako wakati ulipokuwa ukimuhitaji zaidi (ulipokuwa mtoto) na njia pekee ya kujiweka karibu na wewe ili kupata atakacho ni kupandikiza uongo bila kujali (Again) kuwa akuwa atakupa msongamano wa mawazo (stress), kuumiza hisia zako (emotional) na Kisaikolojia.
Mimi nakushauri kama ifuatavyo,
Mosi, Kamwe tena mwiko kabisa kumueleza baba yako Mtanzania kuhusu hili suala, kwani litamuumiza sana na hata kusababisha matatizo makubwa (inategemea na atakavyolipokea) sio yeye tu bali Bibi yako, ndugu jamaa na marafiki.
Ikiwezekana kaa mbali na huyo mama kwa kumwambia kuwa huitaji kuwa nae karibu kwa na asikutembelee wala kuzoea kuja hapo nyumbani na badala yake mwambie wewe utakuwa ukimtembelea huko Kenya kila unapohitaji kufanya hivyo kwani tayari wewe ni mtu mzima.
Pili, Ukisha muweka mbali tafuta wasaa na uzungumze nae hata kama ni kwa simu na umwambie yalioujaza moyo wako ikiwa ni pamoja na msimamo wako juu ya baba aliyekulea (hata iweje ndio unamtambua kama baba yako n.k) na juu yake(utampa heshima kama mzazi wa kike na hadithi za masiha yake ya ujana azi-keep mwenyewe).
Tatu, Kama unataka/ukipenda kuwa na amani moyoni juu ya Mzazi wako wa Damu basi utalazimika kum-bana mzazi huyo akupe ukweli halisi kama kweli anauhakika kuwa Mganda ndio Baba wa damu au anadhania tu lakini inawezeakana hata yeye sio baba na ukweli ni kuwa hajui baba ni nani na akaamua kusingizia wanaume wote aliotembea nao.
Usimuonee aibu wala usihisi Guilt kutokana na katabia kake kachafu ka kulala na wanaume ovyo tena bila kinga, hakikisha unam-bana akupe ukweli wote mpaka kwanini hasa akamsingizia huyu baba wa Tz na kitu gani kilimfanya asijihusishe na wewe na sasa nini kimemfanya akukumbuke (yote yalioujaza moyo wako yatoe) kwani unahaki zote za kujua kwa uhakika kama huyo Mganda ni baba wa damu au unaenda kubahatisha tu!
Akihakiki na kukupa maelezo ya kutosheleza na wewe kuhisi the argue ya kutaka kujua ukweli basi omba mawasiliano ya huyo Mganda ili ufanye nae mawasiliano na ikiwezekana kufanya vipimo vya DNA ili upate amani moyoni na sio kwenda kuanza kujipendekeza kwa mtu au hata familia ambayo huijuia achilia mbali Tamaduni zao za Kiganda.
Akisita nakuja na hadithi nyingine ambazo zinaashiria kuwa hana uhakika na Mganda, kwamba inawezekana pia sio baba wa damu basi achana na the issue na endelea na maisha yako na baba wa Tz. Wewe hautokuwa wa kwanza kulelewa na mzazi ambae sio wa damu kwani kuna watoto wengi tu wanalelewa na wazazi ambao sio wa damu lakini wanapendwa, kujaaliwa, kupewa msingi na mwanzo mzuri tu wa kimaisha kama ulioupata wewe.
Kuna watoto wanaishi na wazazi wao wa damu lakini hawapati ulichokipata wewe, kwa uzoefu wako umeona kabisa kuwa mama hakukutaka ulipokuwa mdogo na alikupa matunzo mabaya kiasi kwamba baba Mtz akahofia kuwa ungeendelea kuishi na mama huyo huenda usingefikisha miaka 21, ungejifia ktk umri mdogo sana.
Kumbuka kwenye suala la DNA, hakikisha humpi jukumu lakufuatilia kwani anaweza kuwa ana-demand pesa kwa kisingizo cha kufuatilia, hakikisha unalifanya mwenyewe na kama hakuna sababu ya wewe kufanya vipimo hivyo kwa vile una amani moyoni kuwa Baba Mtz ndio baba yako hakikisha unamuweka mama huyo mbali kabisa na familia yako ya Tz ili kuepusha matatizo ambayo yatakuathiri wewe na Baba mTz.
Kama nilivyosema awali kuwa kuna asilimia kubwa sana ya kina baba hapa Duniani wamelea na kusomesha watoto ambao sio wao wa damu, lakini kwa vile hawataki masumbuko ya akili, Saikolojia, hisia na hata kuharibu ukaribu wao wa kifamilia wanaamua kudharau maelezo ya watu wengine pia vipimo ya DNA na kuendelea na maisha yako kama kawaida.
Najipa matumaini kuwa umefanyia kazi maelezo na ushaurio kutoka kwa wachangiaji na utafanya uamuzi wa busara ili kuishi kwa amani na furaha.
Kila la kheri!
Imeandaliwa na
Dinah
on
Thursday, October 22, 2009
12
Wamechangia Mada, bonyeza hapa kwa mchango wako.
Labels:
baba na mama,
baba yangu ni nani,
DNA,
Mganda,
Mkenya,
Mtanzania,
mzushi,
sio baba yangu
| Unaifikiriaje hii? |
Subscribe to:
Posts (Atom)


